BLACKBERRY NETWORK FAILURE
Watumiaji wa simu za mkononi aina ya BLACKBERRY duniani jana jumatano inasemeka wamekuwa wakipata matatizo kuunganishwa au kuconnect kwenye mtandao ikiwa sababu kubwa ya tatizo hili ni Network Failure. je kwa upande wetu sisi watanzania tatizo hili lipo? watumiaji wa blackberry tunapenda kujua kama na nyinyi pia mme experience tatizo hili
Tell us!